Sunday, June 16, 2013

ELIMU YA NAMNA YA KUEPUKA RUSHWA KWA SEKTA YA AFYA WILAYANI NACHINGWEA.

 Wadau wa Afya toka maeneo mbalimbali ya Nachingwea walikutana katika Ukumbi wa TRC mjini Nachingwea na moja ya somo walilofundishwa ni Mapambano dhidi ya Rushwa.

Wanafunzi Chuo cha UUguzi Nachingwea wakipata elimu ya Mapambano dhidi ya Rushwa toka kwa Maafisa wa TAKUKURU waliowatembelea hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment